Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi sijawahi kumold mtu akawa mnafiki...

Ukiwa manfiki its up to you ...! Unaaharibu nafsi yako na utu wako wewe mwenyewe..

Mwanaume makini anasimamia anachokiamini hata kama watu 1000 watampinga...

So simamia unachoamini...
Povu lote hilo ajili yangu??
Kumbe hii ishu ipo siriaz sana hadi kama mm umeweza niambia hivyo basi kuna kitu.
Nilichukulia poa hii ishuu.
Naona lee mtachukiana sasa kwa hali hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom