Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Naanza kuogopa bwana.Mmh hayupo serious bana
Sipend kukaa na mtu mwenye hasira
Naanza kuogopa bwana.Mmh hayupo serious bana
Nakuona kijana unafuata nyayoAmani ya bwana imetawala ndani yangu.... Shida kuwamisi makapuku tu
Baanange anamtaka Daby pale unajisumbua tuSasa hiyo amsha popo yenyewe anakuja kuchungulia tu. Hata kunitafuta daaah!!!
Ngoja nimtafu Baanange
yupo anakuja muda si mrefu vipi kaka ulikua una shida ganShunie mmeo yuko wapi
mondray na ww unapenda kupanic vitu vidogo tuHUA SIPENDI NIMKWAZA AU KUONA MTU KAKWAZANA NA MTU.
BRO NAONA YUPO SIRIAZI SANA LEO.
Leo upo tofauti.Dogo mbona hujiamini?
mbona lee umemuweza hamna bana hamna cha useriousNaanza kuogopa bwana.
Sipend kukaa na mtu mwenye hasira
No sijapanic wallah na hua sipanic maishani.mondray na ww unapenda kupanic vitu vidogo tu
Amalizie ile mahariyupo anakuja muda si mrefu vipi kaka ulikua una shida gan
Calm downNaanza kuogopa bwana.
Sipend kukaa na mtu mwenye hasira
Nakuona kijana unafuata nyayo
Mkuu guu kwa guu nchi ya ahadi kalibiaSio kweli.Baanange anamtaka Daby pale unajisumbua tu
mmh kanimalizia mwenyewe iliyobaki kakaAmalizie ile mahari
Mkuu utani wa mapenzi ni hatari mno mkuu, nilikuwa napenda sana huu utani, huwezi amini niliwahi kuumia utafikiri ni kweli, ninaelewa Transcend anavyofeelHUA SIPENDI NIMKWAZA AU KUONA MTU KAKWAZANA NA MTU.
BRO NAONA YUPO SIRIAZI SANA LEO.
Haleluyaaa![]()
![]()
Mkuu guu kwa guu nchi ya ahadi kalibia
Thanks pimbiCalm down
T yuko poa kabisa ni advice tu amekupatia
Haina maana kwamba yuko out of his mind
Anajua kujiendesha
Utu uzima ndio upo hivyo
Kujaribiwa ni sehemu ya life
So KISHETI RELAX
lkn ww si ndio ulimpokonya DabySio kweli.
Kama anamtaka basi poa mm nampotezea tu.
Hahahhhh pole sanaMkuu utani wa mapenzi ni hatari mno mkuu, nilikuwa napenda sana huu utani, huwezi amini niliwahi kuumia utafikiri ni kweli, ninaelewa Transcend anavyofeel
Tutaanzaje kwa mfano wakati tupo fullThanks pimbi
One love daima.
Sidhani kapuku members tutakuja korofishana au kuudhiana.