Makapuku Forum

Nakumbuka Olympic alivyomnyamazisha Hitler
......
 
1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.

Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.

Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…