Makapuku Forum

Nakumbuka Olympic alivyomnyamazisha Hitler
......
 
1953 - Melchior Ndadaye anazaliwa.

Alikuwa ni Rais wa 4 nchini Burundi.

Ndio Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Burundi.

Alidumu madarakani kwa miezi 3 tu kabla ya kuuwawa katika Jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kuangusha Serikali yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…