Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahahaha! Mimi huwa siwawezi bhana..Ahsante
Cheo changu ni uweka hazina
Kisheti ni Mondray
Mara kisheti
Mara pimbi
Mara mweka hazina
Mara muha wa Kg
Majina Yenu mnayajua wenyewe


Hahahaha! Mimi huwa siwawezi bhana..Ahsante
Cheo changu ni uweka hazina
Kisheti ni Mondray


Wewe! Acha utani basi..Kwani umemuliza nini mama mchungaji
Pole baby akeNakupenda pia mume wangu
Nimefika toka saa kumi
Hahahaha! Mimi huwa siwawezi bhana..
Mara kisheti
Mara pimbi
Mara mweka hazina
Mara muha wa Kg
Majina Yenu mnayajua wenyewe![]()
Mmh nikimkumbuka yule ray van sina ata hamuMabadiliko tu ya tabia nchi bibie. Asili yangu upole tu ila hua tu najitoa mbongo
hajaenda kuchepuka yupo porini huko kabanwa na net hamnaAmeenda kuchekepuka wapi?
Ni shwariiiiiNiaje wakuu
Hahahaaa!![]()
![]()
![]()
Muha, kisheti huyo ni Mondray
Pimbi na mweka hazina ni Nyagei
kisheti mana yake nn vijana mnaniacha mbali na misemo yenuAhsante
Cheo changu ni uweka hazina
Kisheti ni Mondray
Daah! Ila wanaume hizi kazi za porini bhanaa!hajaenda kuchepuka yupo porini huko kabanwa na net hamna
Hahahaaa! Akikujibu niite..kisheti mana yake nn vijana mnaniacha mbali na misemo yenu
Asante na wewe piaPole baby ake
acha tu shem namuonea mpk huruma lkn hakuna jinsi yote ni kutafutaDaah! Ila wanaume hizi kazi za porini bhanaa!
Mwambie akomae! Nimemaliza Black project january na mimi..
Jamaniiii mpenzi, tayari ushaniona sasa. Ope umepona dearYanauma kwa kuwa sijakuona!
I just want to see you sakayo wangu
hahahha nasubilia jibuHahahaaa! Akikujibu niite..
Kisheti ni kiungokisheti mana yake nn vijana mnaniacha mbali na misemo yenu
Yes .! I can see nowJamaniiii mpenzi, tayari ushaniona sasa. Ope umepona dear

Akomae tuu! Porini kuna hela sana.acha tu shem namuonea mpk huruma lkn hakuna jinsi yote ni kutafuta
akimfikilia shunie wake huko anakufwaaa na miwivu yake
Love you honeyYes .! I can see now
I am longer blind..![]()
Tupo sisi hapa asife kwa wivuacha tu shem namuonea mpk huruma lkn hakuna jinsi yote ni kutafuta
akimfikilia shunie wake huko anakufwaaa na miwivu yake