Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,097
Duuh wavijitiJE WAJUA??
Mswaki wa kwanza umegunduliwa mwaka 1498 nchini China
maneno ya vijana hayo malkia naonaga wakisema
Looooooh ebu bhinamu ajehiko kikao huwa mnaongea nn naomba na mm niwepo
Kaishika roho yangu na nafsi yanguLivi kitu ganii
nitakuwepo au sitakuwepoLooooooh ebu bhinamu aje
Anaweza akakufikiliamooooo
Make ulinitahid kwenda church
Mimi wangu hana tabia hizo, kashantoa waswasHahahaa hamuwaamini waume zenu?
Teh teh tehNyagei nae![]()
![]()
![]()
![]()
....
nitakuwepo au sitakuwepo
Aliyekuonjeshaa vodka kakoseaaet mnasemaga ukiwa na maziwa ni mtamu
Obe usiwafate hao, shauri zako mimi sikuonyi tenaJina likipita akiniomba cheti tu hanioni tena. ha hahahahahah
Wewe subiri mrejesho wa kikao chetu na mjombaangu, tuna mbinu za medani utaelewa tu
Rangikufanana nn sura au rangi kuwa muwazi malkia
ndio mana vikao vya huko haviishi kumbe ana mpango wa kando nilijua tuNi vizuri ukawepo ili tupate mbinu mbadala, nitamwambia mjomba asimwalike yule mpangowake wa kando,
Jamani ShunieAahhhaaah mama mchungaji ww ndio ututajie mambo ya mwenyewe kuja kusema kila siku watu wanasema baba wachungaji