Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumetoka mbali, luninga za rangi (color tv set) zilianza kuuzwa na kampuni la RCA -1919-1986 ( hili baadaye lilichukuliwa na GE- General Electric). Uuzwaji huu ulifunguliwa tarehe kama ya leo mwaka 1954

Na seti hii ya luninga iliuzwa kwa dola 1000 ambayo kwa leo ukiifanyia mahesabu na muda ni kama dola 6k-7k

Hongereni wenye smarttv 4k, na wenye machogo

01136fec33d1d84582dcc92160f776d2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom