Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa mmeamkaje ,Mungu yu mwema mimi niko salama nawatakia jumamosi njema yenye baraka tele,wagonjwa poleni Mungu anawaponya,wenyechangamoto mbalimbali msikate tamaa Mungu anatengeneza njia pasipo na njia mapito yana njia ya kutokea mtashinda ..Nyagei,Shunie,Sakayo Malkia Mungu awape uponyaji wa kudumu tuwepo pamoja tena kwa furaha ....Werrason ulipo Mungu akupiganie siku njema
na shedede mungu anakuona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom