Makapuku Forum

Makapuku Forum

umri huo unajua fb unaijua insta kweli we babu inabidi tu nikuite babu bas bibi yangu mwenyewe hajafikisha huo umri
Hahahaaaaa.. Acha kunizeesha wewe hivi kumbe rais mugabe zile account zake ni fake? Uzee mwisho chalinze mjini kila mtu baby. Halafu nyinyi vijana acheni tabia ya kutubagua nyinyi sisi wazee Bila sisi nyinyi msingekuwepo etii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom