Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Ameachwa.Mbona mmemuandama Peter?
Ameachwa.Mbona mmemuandama Peter?
Kwani kasema??Ameachwa.
Anataka kuharibu karama..mimi nimeweka.kiwango ili wadada mshindwe kuja kwa baba mtumishi...ona sasa..acha nibuni mbinu ingine..naona hii imefeliAmeahidi kunifanyia huduma bureee![]()
Anaonekana tu ametendwa,maana ameingia huku anaimba na nyimbo za kuachwa.Kwani kasema??
Kaenda wapi vile?Yani hapa ndiyo napata kifungua kinywa,si unajua shemeji yako hayupo?
Nipo hapaKaenda wapi vile?
hamna mkuu naimba tu, kuna tatizo kwani?

Ni nani anataka nikuache honey?Baby usiniache tena mwenyewe,kuna watu humu walisema eti nikuache.
Kijana anaficha ugonjwa.![]()
![]()
![]()
Sema kijana ili usaidiwe.
Huyu bwana mdogo anaitwa sumbaiNi nani anataka nikuache honey?
Huyu nae kashaachwa kama sumbai![]()
![]()
![]()
Sema kijana ili usaidiwe.