Nani kakuambia?Baby usiniache tena mwenyewe,kuna watu humu walisema eti nikuache.
Eti kwasababu ameachwa anataka na mimi nikuache ili tufanane,hajui kwamba tumekula yamini hatuwezi kuachana mpaka siku ya mwisho.Hajawai kupendwa huyo. Achana nae
Peter gan huyo? au pmMbona mmemuandama Peter?
Uko wapi?Anataka kuharibu karama..mimi nimeweka.kiwango ili wadada mshindwe kuja kwa baba mtumishi...ona sasa..acha nibuni mbinu ingine..naona hii imefeli
peterchokaPeter gan huyo? au pm
Ndo kiashiria hicho?Jamani, kwani kasema?
Akae na nani mtu mwenyewe kachokapeterchoka
Kwani kuimba ndo kiashiria??Ndo kiashiria hicho?
Tumuulize kama kakuacha au?aisee munanitafuta sana vijana, muulize mwenyewe tafadhali!
Umejuaje??Akae na nani mtu mwenyewe kachoka
Hahahaa kwa kumchokoza mme wangu tu haujambo!kwa ushamba huu atakuwa Th Name tu hakuna mwingine
Shemeji upo?Kwani kuimba ndo kiashiria??
Nipo shemejiShemeji upo?
Na atangoja sana. Kama tunapendana hayo mengine abaki nayo mwenyeweEti kwasababu ameachwa anataka na mimi nikuache ili tufanane,hajui kwamba tumekula yamini hatuwezi kuachana mpaka siku ya mwisho.