eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hahaaawewe wasema!
Hahaaawewe wasema!
Lazima kuna jambo si bure.hamna mkuu naimba tu, kuna tatizo kwani?
hamna mkuu naimba tu, kuna tatizo kwani?
Sweetheart
Mkuu una neno![]()
![]()
![]()
![]()
moja tu ya zaidi ulopiga na magu
Pole sana mkuu.wewe wasema!
wasiwasi wako tu mkuuLazima kuna jambo si bure.
Baadae mjitakase nitatoa meza ya bwanaMmmh hiidivai haiwezi kuwa juice
![]()
Niambie my sweetie, umeniacha mwenyewe.Sweetheart
pole ya nini asa?Pole sana mkuu.
Wanaachwa alafu wanavunga,unakuja kushtuka tu mtu kajinyonga.Mkiachwa muwe mnasrma
Sijakuacha mpenzi majukumu yananiandama. NimekumissNiambie my sweetie, umeniacha mwenyewe.
Yani bora umerudi nilikuwa na mpango niende polisi kuripoti.Sijakuacha mpenzi majukumu yananiandama. Nimekumiss
Kwa mtosopole ya nini asa?
Yani bora umerudi nilikuwa na mpango niende polisi kuripoti.
Nilikumiss sana my sweetheart

Mbona mmemuandama Peter?Kwa mtoso
Baby usiniache tena mwenyewe,kuna watu humu walisema eti nikuache.