Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ameahidi kunifanyia huduma bureeeUsiombe sana heri huko kwa baba mtumishi..hii huduma ya utumishi ndiyo inatupa jeuri mjini hapa....mjini patamu eti.!

Ameahidi kunifanyia huduma bureeeUsiombe sana heri huko kwa baba mtumishi..hii huduma ya utumishi ndiyo inatupa jeuri mjini hapa....mjini patamu eti.!

Nimetoka kazini ati pesapesaKaribu tena, hivi ulikuwa wapi?
Tuko poa mkuu, mishe vipi?Mko poa humu
Changia maneno ya maana point utazipata na likes utazipata tuhivi makapuku wenzangu!! ni namna gani nitaweza kupata pointi nyingi humu jf hali kadhalika likes ??
Tunajadili mambo yetu mkuu.Kwa hiyo huu uzi mnajadili nini? Naona ukichanja mbuga ila sijaona topic mnayodiscuss ni nini. Nyie kweli makapuku.
The Name.
Njema sana mkuuTuko poa mkuu, mishe vipi?
hivi makapuku wenzangu!! ni namna gani nitaweza kupata pointi nyingi humu jf hali kadhalika likes ??[/QUOTE.
.
Tupo mkuu,pole na mihangaikoNjema sana mkuu
Nini tena,umeachwa!kuachwa kuachwa..wewe unakonda yeye ananenepa..
Ameachwa tayariNini tena,umeachwa!
hamna mkuu naimba tu, kuna tatizo kwani?Nini tena,umeachwa!
umeninukuu vibaya ..Hhahaha,mkuu unamaanisha nimuache Nahrene wangu!.
wewe wasema!Ameachwa tayari
kimachale joo, niajeMko poa humu