Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Lakini wenyewe mnawezanaAisee,huyu mwanamke ni shida.
Lakini wenyewe mnawezanaAisee,huyu mwanamke ni shida.
karibu tena...Nimerudi wakuu.
Acha tu,hii ndoa yetu ngumu jamani!Lakini wenyewe mnawezana
Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba...Lakini wenyewe mnawezana
bora shida , kuliko tabu ...Aisee,huyu mwanamke ni shida.
Asante mkuu mandelaakaribu tena...
karibu tena...
Nahisi kabisa nakaribia kuwa singlebora shida , kuliko tabu ...
single with kid au sio ?Nahisi kabisa nakaribia kuwa single
single with kid au sio ?
hapana mkuu,ndoa yetu bado changa.sa ndo mnatakiwa muikomaza kwa kupata maua![]()
![]()
hapana mkuu,ndoa yetu bado changa.
Utapataje maua wakati mke hayupo!sa ndo mnatakiwa muikomaza kwa kupata maua

pole sana aisee , huenda huyo si size yako ndo maana anakufanya kama mdoli .... ka vipi jiongeze mbona bustani zipo nyingi tuuUtapataje maua wakati mke hayupo!![]()
Hhahaha,mkuu unamaanisha nimuache Nahrene wangu!.pole sana aisee , huenda huyo si size yako ndo maana anakufanya kama mdoli .... ka vipi jiongeze mbona bustani zipo nyingi tuu
Tuko poa sijui wewe?Mko poa humu
Usiombe sana heri huko kwa baba mtumishi..hii huduma ya utumishi ndiyo inatupa jeuri mjini hapa....mjini patamu eti.!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sasa mi sitakuwa na hela ya kulipia hizo dhambi zangu, ngoja nimpm baba mtumishi jambilo labda atapunguza bei mana we unakaza sanaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
Niko poa mrembo jimena habari yakoTuko poa sijui wewe?
Karibu tena, hivi ulikuwa wapi?Oyooooo nimerudi ati