Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie

Sijui dada yako ana tatizo gani bhana?

Leo imebidi mpanga nimpeleke date dinner ila waaapi...!

Yaani niko nammbeleza hapa aseme tatizo nini? Anasema tuu nimechange basi..
Mkuu na mbona unamuonyesha mahaba mazito sana kama kumkalibisha dinner pamoja na breakfast
Leo anataka kukuacha kisa mimi mvumilie mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom