Makapuku Forum

 
Hahaha ugali mboga siioni mkuu
 
Tuacheni utani
Mwarsbu kwa Yanga ni kaa la moto bora tungekomaa na Zanaco yasingetukuta hata......halafu najiuliza kwanini kila siku timu za Bongo zinamalizia ugenini dhidi ya Waarabu na timu za West Africa kila hatua wanazokutana maana kwa UEFA taratibu zinajulikana ila kwa CAF iwe raundi ya kwanza,pili, makundi mara karibu zote tunamalizia ugenini
Bora Hayatou kang'olewa
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…