Makapuku Forum

Utafanya mbwembwe zote ila hutopata kitu ??


Anyway ...ungepitia Ng'ara ingekuwa simple sana within 5 hrs unakuwa ushatimba
 
Mkuu sio miezi ni miaka anangang'ania mke wa mtu sijui anajitakia nn bwana mzee mkavuu

Ila nawe unatisha sema malkia nawaona nawaonaaa
mi mwenyewe nimempola bwana blessed aiiiseeh nilijivika ngozi ya simba we unafikir bila kuwa ngangali utatoboa mathalani jana alitupa mpaka
Comption nikaonekana kidume
Wacha malkia wangu aje approve kwa hili
 
Mkuu sio miezi ni miaka anangang'ania mke wa mtu sijui anajitakia nn bwana mzee mkavuu

Ila nawe unatisha sema malkia nawaona nawaonaaa
Miaka ya wapi na wewe? Sema tu nilishaacha michezo ya kitoto. Enzi zile sina breki saa hizi tungekuwa tunaongea mengine. Makapuku lakini raha sana. Yaani kule kwenye siasa kidogo tu mtu ushatukanwa. Mpaka juzi hapa nikapigwa ban mbili. Sasa hivi napaogopa kama ukoma. Nitapachungulia huko ishu ya Bashi.te ikitulia.

Asante Lee na Shunie kwa burudani tosha na ushirikiano wenu. Tuendeleeni kula huo ugali kwa pamoja...
 
Najua roho unaumwa ila utafanyaje mrembo ndo kashatulia kwangu

Anyway changamoto sehemu ya maisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…