Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Zipo mtu kama tatu hivi zote zimekaza macho kwa ShunieNa wewe mkuu unamtaka shunie
Walaii waulize waliotanguliaa ....utapotea kama waliojaribu
Asante sana tunamshukuru Mungu Siku tunaianza salamaMmeamkaje humu ndani jamani, ni asubuhi nyingine tena iliyo njema tuliyopewa na Bwana.
Naamini wote mko salama!! Niwatakie tuu kila lenye kheri siku ya leo!!!
T na wewe uwe na asubuhi njema mume wangu!!!
Mwanamke mwenye hadhi kama ShunieIla wewe lijamaa ling'ang'aniziii
Hupendwiiiiii
Mkuu shunie anavonipenda ,navompenda sahau kabisaa kumpataSi nilisema kuwa ngoja uamke. Ona sasa ulivyokunja uso. Angalia usije ukararua mishipa ya ubongo uRIP utuachie Shunie wetu tufaudu!
NifeeMbona tayari nshafunguliwa?
MtajijuaaaZipo mtu kama tatu hivi zote zimekaza macho kwa Shunie. Mchuano ni mkali ila naamini mi ndo nitaibuka kidedea. Nia ninayo, sababu ninayo na uwezo ninao (maneno ya mwl. Nyerere haya alipokuwa akimchimba mkwara Idd Amin). Tuwemoooo!!!
Polee sanaaMwanamke mwenye hadhi kama Shuniebila kung'ang'ania utampataje? Just wait and see...
Tumeamka salama sana ubarikiwe na we we pia na kazi njemaMmeamkaje humu ndani jamani, ni asubuhi nyingine tena iliyo njema tuliyopewa na Bwana.
Naamini wote mko salama!! Niwatakie tuu kila lenye kheri siku ya leo!!!
T na wewe uwe na asubuhi njema mume wangu!!!
Kwema mkuu Shedede? Kama nilivyotabiri jana yule jamaa kaibuka na amewaka balaa. Kumekucha...Humu mmeamukaje mko poa ?
Kwa hiyo mkuu unadhani ntavumilia kuona mnasumbua cheupe wanguKwema mkuu Shedede? Kama nilivyotabiri jana yule jamaa kaibuka na amewaka balaa. Kumekucha...
Hahahahayupoo hivi anammendeaga ma mchuchu, BH mumie njoo ututambulishe Baba mchuchu wakoo
Ubarikiwe mkuu NyageiTafakari ya usiku msome kwa uwezo wa roho mtakatifu
Mi nilistay back nilimwachia shimba usingiz ulikuwa tytTuko poa mkuu
Usiku mmetuweza
Pole sana umeamkaje?Mungu akuponyeDear Makapuku katibu wenu leo hayuko sawa toka muda aliotoka anasumbuliwa na maumivu ya kichwa (left side) so sina budi kuwakimbieni mapema.
Salam zikufikie my love emmyta
Kwema mkuu Shedede? Kama nilivyotabiri jana yule jamaa kaibuka na amewaka balaa. Kumekucha...
Ila mambo kwa malkia yako mkidemkideeMi nilistay back nilimwachia shimba usingiz ulikuwa tyt
You are welcomeI'm EAGERLY waiting to learn more frm you