Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Wanakujaga mmoko mmoko, wengine na madongo.....tukawa tunawa-ignore wakatuacha.....ila kuna vichwa naviona hapa havitakubali so litatokea battle na kuharibu hali ya hewa!!!Si ulinuna nilivosema niwaite


halaf mnabeba vinywaji vyenu vyote mnavyotaka kunywa peke ako utaboreka