Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Najua, ila tukale kwaoata hiko chakula kitashuka kweli usimfanyie hivyo
Najua, ila tukale kwaoata hiko chakula kitashuka kweli usimfanyie hivyo
Kweli yanarun duniaMaisha yanabadilika!
Tutawamiss mimi na sakayo.
Basi tusiondoke!!Wewe na mimi kuondoka..
hahahhh wosiaNaaanza kutoa husia;
Mondray
Ulikuja kutoka fesibuku.., nikakupokea kwa mikono miwili mimi na kina bitoz, shunie, lee na wengine weeeengi..
Nafurahi niliweza kukumold vizuri hadi sasa hivi umekaa kwenye njia nzuri
Kuna traits zangu unazo sasa..! So nimeacha alama hapa jukwaani..
Ushike sana falsafa ya Makupuku..
Makapuku ni kimbilio la underground..make it makapuku always..! Kila mtu awe na haki sawa! Kila mtu aheshimiwe, kila mtu apate like, mwenye stress atolewe stress
Umlinde mdogo wako nyagei pia..mtu asimsumbue.
Mwisho uishi na kila kapuku kama nilivyoishi na wewe...
HASTA LUEGO Mondray..
Aiseeeeeehumenivuruga ujue akili si yangu
HahahaAcha bangiii ujue
Ntakupa ban mm
Hahahhhhh umenifanya nimecheka sana hivi baby hutumii weed kweliThubutuuu uonee
Na mmi natoka sasa
Acha bangiii ujue
Ntakupa ban mm
Ukipoteaa umejiandikia talakayaan utanifanya na mm nipotee humu
Athantee kwa ushauri big bro.Naaanza kutoa husia;
Mondray
Ulikuja kutoka fesibuku.., nikakupokea kwa mikono miwili mimi na kina bitoz, shunie, lee na wengine weeeengi..
Nafurahi niliweza kukumold vizuri hadi sasa hivi umekaa kwenye njia nzuri
Kuna traits zangu unazo sasa..! So nimeacha alama hapa jukwaani..
Ushike sana falsafa ya Makupuku..
Makapuku ni kimbilio la underground..make it makapuku always..! Kila mtu awe na haki sawa! Kila mtu aheshimiwe, kila mtu apate like, mwenye stress atolewe stress
Umlinde mdogo wako nyagei pia..mtu asimsumbue.
Mwisho uishi na kila kapuku kama nilivyoishi na wewe...
HASTA LUEGO Mondray..
Basi Naomba Yaishe my PrinceYaani hata hii honeymoon hatujamaliza you want to leave..
unanitafutia sbbu ya kunipa talakaUkipoteaa umejiandikia talaka
Aiseeeeeeh
hahahhhh lee ananichekesha mpk tumbo linaumaHahaha
Em mpe ban ya Jana haijamtosha
HahahaThubutuuu uonee
Na mmi natoka sasa
Yangu anaijuaa ya maisha kabisaHahaha
Em mpe ban ya Jana haijamtosha
Hubby please!!!I don't feel like eating..!
Hahaha umefurahieeMpaka nimecheka! Though chozi linatoka...
umeanza mambo yakoYangu anaijuaa ya maisha kabisa
Weee unachokitaka utakipataaHahahhhhh umenifanya nimecheka sana hivi baby hutumii weed kweli
hahahhhh dada unakumbuka jana ulivyonipigia simu ipo busy ukaniambia hivi lee anajua simu ipo busyHahaha
Acha mirungi wewe


baby hautaniwi yan kama nakuonaWeee unachokitaka utakipataa
