Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
SATOWatumia nini sasa
SATOWatumia nini sasa
Hata mi naona mwaya.Mzima mie
Unacheka mwenyewe.hahahhhhh
ninongoneze bas ulichokumbukaWayaaaaaaaaaaaaaaaa
Na wewe ukujeeeeeeeeeeee
Nimekumbukaaa mbaliii
Nduuuuuuukiiiiiii
Unacheka mwenyewe.
Kipepe anamsaidia pimbi.
Si unajua pimbi na kipepe always hawatusui



Mimi sipendiiiiHahahaa! Unanionea donge eeh?
Kila mtu kazaliwa tofauti mkuu!
Shunie ni shunie na sakayo ni sakayo
Hahahaa! Ulitaka lee alete ugomvi eeh?Wewe huyo, mbona hukwenda kumtoa mdogo wangu sasa
Bwanaaaah si mmoja akashindwa uvumilivu kamvutiaa mshikaji wayaaaninongoneze bas ulichokumbuka
Yaani wanahaha...![]()
![]()
![]()
![]()
nilijua hawakosii

Nihurumie mtoto wa mwanamke mwenzio nimechoka kuwa kapela (mtazamaji) kwa wenzangu.Kumbe na wewe shem umemuona
Mdogo wakoHeee
Kanywa mwenyewe bila mie, handsome ya kweli hayoo!!!???
Mie niwaache bae wangu kagoma kwenda kunywa chai na mie appetite imeishaa.
Baadae sana
Morning sir have a Blessed dayMorning family..
Morning my love sakayo..!
Mueleze nilivyodondoka kwakeMtimizie takwa la moyo wake ujue humu kuna boa sana kama huna patina. Unaishia kua mshabiki tu wa mapenz ya wengine.
Mwelewe shem
Good morning sir tunakumis pia karibu uwe na siku njemaMorning people I real miss you
hahahahh sijaelewa kituBwanaaaah si mmoja akashindwa uvumilivu kamvutiaa mshikaji wayaaa
Kumbe mshikaji alisubiriaa kuitwaaaa
Wacha akimbiee
Story imeishia apo

Njema ubarikiwehabari za asubuhi wakuu
Emmyta shouger eb muonee huruma jamaan mpk nimejiskia vibayaNihurumie mtoto wa mwanamke mwenzio nimechoka kuwa kapela (mtazamaji) kwa wenzangu.
Nakuhitaji emmyta tujenge empire yetu takatifu
Mnawaiba toka home hukoSATO
Kama hizi:Aisee hiyo lafudhi nimeimiss

chuga slangs kwa hisani ya emmyta