Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hakuna cha kuangalia mechi tukimaliza futuhi tunazima taa dompo itakuwa ishafanya kazi ...tutasikilizaa michezo asubh
Hakuna cha kuangalia mechi tukimaliza futuhi tunazima taa dompo itakuwa ishafanya kazi ...tutasikilizaa michezo asubh
Daaah ! Yule kanipiga chini kitambo kisa arsenal...hivi lkn ww si una mtu wako



Dooh!Hakuna cha kuangalia mechi tukimaliza futuhi tunazima taa dompo itakuwa ishafanya kazi ...tutasikilizaa michezo asubh
Weee jamaaa nimekupigania hapa unanigeuka? Lets form an alliance...
Tuchape watu humuu
mtu na dadakee
AsanteeeeHehehe
Nilikuja tu kuwasalimu humu jamani, Shunie na mashemeji nimefurahi kuwa nanyi. Muwe na Usiku mwema. Love you all, but I love my Shunie more
Yaani !![]()
![]()
![]()
mtu na dadakee
Ahaaaaaaah mkuu ile bond kuivunja inahitajii reagent sijui benzeneUmekuwa aidui tena! Mimi nataka tuweke heshima kwenye ukoo wa kina shunie afu unakuwa kigeu geu tana mkuu...
Makapuku family hadi ukweni
NaonaYaani !
Wewe na shunie!
Mimi na sakayo !
Sasa humu nani anapitisha pua!
Tutamwagia hata Nitric Acid...!Ahaaaaaaah mkuu ile bond kuivunja inahitajii reagent sijui benzene
KweliiiiiiiiiiiiiiYaani !
Wewe na shunie!
Mimi na sakayo !
Sasa humu nani anapitisha pua!
Wewe mtoto kuwa na adabu
Ata kama ulinifundisha simatiiifonii
mzeee samahanii... Msalimieee MamaJE WAJUA
Mwaka 1894 mchungaji alimuokoa kijana mwenye miaka 4 ambaye alikua amezama ndani ya maji.
Kijana huyo ni Adolf Hitler
Shunie anakolezea wanja kwa sakayo...Baby shunie natanguliaa ndanii
Ok tangu uamie kwako adabu huna![]()
![]()
mzeee samahanii... Msalimieee Mama
Kaka mkubwa shikamoo!![]()
Hahahahhaa! Hivi chuo haijafunguliwa wewe![]()
![]()
mzeee samahanii... Msalimieee Mama