Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mwambieeekama unayajua hayo mbona ulitaka kutugeuka
Mwambieeekama unayajua hayo mbona ulitaka kutugeuka
Umekariri majibu sioHahahhahah nilijua tu ndio kinachofata
Hiyo tamu sasa! Handsome nae anakopy kwa mama..Hehehe
Ila babangu ni copy ya bibi angu
Baby!!Embu Mwambiee
NimewahiwaI love her...
simply! Wala sina maneno mingi mimi
hahhahahhhaa ukifika unajimalizia tuItasaidiaaa kurahisishaaaa kaziii
![]()
![]()
![]()
Mmmmmmhme ninachohisi wanakuvuruga tu waone msimamo wako kama mwanaume
Sasa anaangalie watu wakimsumbua mama yake hapa?
niliingiaa kuwasalimu tu mkuu
atakujibu mwenyeweI love her...
simply! Wala sina maneno mingi mimi
No!Nimewahiwa
Ukweliii mtupuu... Majukumu tu yalinipotezaaa mkuuKweliii mkuu
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi!!!.....yale matope ya kule ulivyokuja na kivitz chako ukakiacha kule barabarani kwa Mzee Nakonde nikaja kukufuta na mnyama wangu leo unaneng'eneka!!!

Ooh nilijua baby wangu ana I'd nyingine![]()
![]()
![]()
i'd yangu hii mkuuu,,,,
HeheheNilizamia na mume juu te teh
Dada nakushukuru sana bila ww nisingempata acha nikupende tu
HahahhahahhHehehe
Ila babangu ni copy ya bibi angu