Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
kweli imekataa
kweli imekataa
Hhaaaaaa!werrason hafai baby utavuka tu
Ndiokhaaaaaa dada
Mmmmmmhimekataa naambiwa kubwa haikai
Nimeshaambiwa niende karumeUkanunue gauni refu! Hiyo id ndo chanzo ..
Huoni upaja wako ulivyo mnono kama papai la msimu...
![]()
NtakupigiaaaHahahaa! Sasa hapa tuform alliance moja mkuu...
Ili tuitane shemeji 100%
Hahahhahah nilijua tu ndio kinachofataHujui nimefanana na babangu
Nimeshakwambia tayaliTell mee!!!
I love her...Dada ana baby wake
Kazi ipoonimejishika dada nataka kuwa na moyo kama wako na huu wivu sijui
Nooooophahahhah au I'd ya pili ya baby
Dada nimeicrop imekataaIpunguzee
Muulize baby wakoHapanaaa
HahhahahahhKuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi!!!.....yale matope ya kule ulivyokuja na kivitz chako ukakiacha kule barabarani kwa Mzee Nakonde nikaja kukufuta na mnyama wangu leo unaneng'eneka!!!
HeheheTena wasichana wazuri wanafanana na baba zao..
Wewe nataka nifix kitu flani hutaona mtu analeta fyoko fyoko kwa shem shunieNtakupigiaaa
Embu MwambieeDada ana baby wake
Nilizamia na mume juu te tehMie ndo nilimtuma huku, halafu hakurudi tena kuleta majibu
Keshoo anaaamkiaa karumeKasema hana nguo ndefu