Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Aiseehuku nyumbani dada we usiponiona kote ukija huku utaniona
Nafurahi kukuona
Aiseehuku nyumbani dada we usiponiona kote ukija huku utaniona
Mashemejii washaanza undugu na manfongoAisee
Nafurahi kukuona
Nakujuaaa ukiamuaa mbona atakubari mamaaah na unavompendaaa wewe mwambie mapema mm yule rafiki yetu wa carina namtumiaa ya mafuta Leo mnaingia kama waziri wa mipango ....
Bhinamu alafu pale Buku nimeiacha kwa meza sijui imedondokaa apo ndani ?? Ukiipata nitumie mpesa
Unataka kusema una kamba mguuniNo offense, jina lako linanikumbusha miondoko ya sakayonsa. Me ni mgeni pia
DaahUtatusamehee
Itapatikana kweliii???mmmmh, sijui kama nitaiona, kuna panyabuku humu anapenda kutafuna hela utadhani TRA/BOT. Labda kwa kusaidia utafutaji hebu ongeza buku kumi nikanunue dawa ya panya tumuue, irushe mapema kwa mpesa, weka na ya kutolea
Unataka kusema una kamba mguuni
Itapatikana kweliii???
Mim natumaaa ile inayoaanzaa na 07
NatumaaaaLol! Hii yote ni kuweka ugumu tu usitume hea, si uende hata posta ya karibu utume kwa njia ya TMO

Utawala wa kisheria. . . very funny!! kila kitu hadi kithibitishwe mahakamani. . .Jamani ni sawa kushikishana mabango namna hii hata kama ni mtuhumiwa wa uhalifu? Nasema kuwa ni mtuhumiwa kwa sababu bado kosa lake halijathibitishwa mahakamani. Na ni makosa gani ukiyatenda ndo unashikishwa bango namna hii?Bongo vituko haviishi haki ya nani!![]()
Anajua saaana huyu, wala sio wa kukanywa.Mashemejii washaanza undugu na manfongo
Mkanye mdogo wakoo
Amini aminiii nakwambieniDaah
Siamimi ninachokisoma
Ongeaa nae vizuri.anawamis mashemeji zake mpaka anaumwaAnajua saaana huyu, wala sio wa kukanywa.
Hebu muamini
AiseeNo sina kamba mguuni, ninatumia GPS nisipotee
Hello mkuuHello faimily
Niambie kakaHello mkuu
Tupo mkuu japo tumekumisNiambie kaka