Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Tuko njemaaaa mkuuuHabari za asubuhi wanafamilia
Ila unachotaka kunifanyia sio
Tuko njemaaaa mkuuuHabari za asubuhi wanafamilia
LEO KATIKA HISTORIA:
1976 - Waziri Mkuu wa Uingereza Harlod Wilson anajiuzulu wadhifa huo.
Inaelezwa sababu ya kujiuzulu kwake ni sababu binafsi.
Hii nchi watu wanafanya maamuzi kwa kujisikia na sio kufuata sheria.....Jamani ni sawa kushikishana mabango namna hii hata kama ni mtuhumiwa wa uhalifu? Nasema kuwa ni mtuhumiwa kwa sababu bado kosa lake halijathibitishwa mahakamani. Na ni makosa gani ukiyatenda ndo unashikishwa bango namna hii?Bongo vituko haviishi haki ya nani!![]()
hahahahh ila lee una maneno aisee sijui unayapata wapiWalaaa mmi namchora anavonengenekwaa
Tulichenganaa akaenda kwa blessed mm nikatulia kwake nikapitiwaa na usingizi bhasi ufunguo nimrudishieemmh mbona yy anakataa au baby ushaanza makando kando
Haki Mbinguni tu!!!Asante mume-mwenza kwa magazeti ya leo. Naona ishu ya Bashite bado imeshika kasi. Inavyoonekana dogo atasavaivu hii kasheshe japo Mange binti Kimambi bado kamkalia kooni sawasawa. Nawapa pole wote waliofukuzwa kazi kwa sababu ya vyeti feki. Hakuna usawa hapa duniani aisee....
baby wa kuwaamini ni binamu yako obe na shululu na TranscendTuko njemaaaa mkuuu
Ila unachotaka kunifanyia sio
Daaaaaaaaah Leo umeniamuliaa mkuu ila mbona walio single wapo wengi mkuu ....wengine wameachikaa
Naomba bhasi niachie ka shunie kangu unanitafuta maneno asubh hii kweli ....
Ngoja aamke aone maajabu ya kapuku

hahahah kinguoni mwakoKikulachooo
halaf wwBob Mikwara![]()
![]()
![]()
MambooNimeipenda picha ile ila pakuipata khaaaaa
1984 - Ofisa wa CIA nchini Lebanon, William Buckley anakamatwa na kuuwawa wapiganaji wa kiislam wenye msimamo mkali nchini humo.
Asanteeebaby wa kuwaamini ni binamu yako obe na shululu na Transcend



acha tu ninyamaze ukweli unaujua mwenyeweTulichenganaa akaenda kwa blessed mm nikatulia kwake nikapitiwaa na usingizi bhasi ufunguo nimrudishiee