Makapuku Forum

Makapuku Forum

1892 - Klabu ya Liverpool yaanzishwa.

Ni klabu ya pili kwa mafanikio katika Nchi ya Uingereza nyuma ya Man Utd.

Wapinzani wao wakuu ni Everton Fc ambao wanapatikana katika kitongoji cha Merseyside.

Mara yao ya mwisho kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu England ilikuwa mwaka 1990.

Baadhi ya magwiji waliochezea timu hiyo ni Kenny Dalglish, Roy Evans, MacManaman, Robbie Fowler, Steven Gerrard, Luis Suarez, Xabi Alonso, Jamie Carragher nk
 
1493 - Christopher Columbas anarudi zake Hispania mara baada ya kufanya safari yake ya kwanza Marekani.
baf6756a6797ce6b70b270a4bb92f7f0.jpg
3dc444227da3775fb4d3ca9f61304662.jpg
ce990df4052a533ac20a418b199631bf.jpg
e36dd6cb2a740a2082610780053f7ef5.jpg
 
1892 - Klabu ya Liverpool yaanzishwa.

Ni klabu ya pili kwa mafanikio katika Nchi ya Uingereza nyuma ya Man Utd.

Wapinzani wao wakuu ni Everton Fc ambao wanapatikana katika kitongoji cha Merseyside.

Mara yao ya mwisho kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu England ilikuwa mwaka 1990.

Baadhi ya magwiji waliochezea timu hiyo ni Kenny Dalglish, Roy Evans, MacManaman, Robbie Fowler, Steven Gerrard, Luis Suarez, Xabi Alonso, Jamie Carragher nk
f0e1ebb3504e4b8ca1d337ca93008ee3.jpg
acca04b966b01313fec5e966478dee5e.jpg
0ae60da416fe981232ef63513f031d4e.jpg
3accf6e1d2413a2deb864e5e90cb71e3.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom