AiseeUna-jump tu last zikikuzidi maana ni ngumu ku-control vifurushi vya Makapuku
Jibu mubashara
Maana ya kapuku..;
Hili neno linamaanisha member wa jf ambao sio maarufu au ni underground au watu ambao sio wakongwe wa jf..[emoji117][emoji117] ukirudi nyuma hadi post # 5 utakuta link yenye maelezo mengi zaidi..
Hii ilianzishwa baada y baadhi ya members kudharauliwa, kufanyiwa kejeli na wakongwe wa jf. Wakati mwingine unasutwa tuu kisa huna umaarufu..
Hapo ndo ikawapo thread ya makapuku ambayo itamshimu kila mtu ambaye sio maarufu! Huku unatoa mchango na unaheshimiwa kama member mwingine..
Mkuu Bitoz unaweza ukaongeza nyama kidogo..
Cc:
Bitoz
Baily 5
Na makapuku wote..
Hahahaha.... weka pichaJE WAJUA?
Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganisha kope za macho na sehemu ya kutolea haja kubwa (anus) ndo mana kila ukijaribu kubana jicho moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila kutarajia?
nawaona cheki mnavojaribu...mtakuja kunya buree jaman....[emoji23][emoji23]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mfano?Huku makapuku raha sana
Kwemaa mkuuMambo vipi kf members??
Ataweka mkuu mondrayHahahaha.... weka picha
Kwema, sijui upande huoKwemaa mkuu
Yuko lindoni huyo,Ataweka mkuu mondray
Tuko poa mkuuKwema, sijui upande huo
[emoji87] [emoji87] [emoji87]Yuko lindoni huyo,
Umenibamba joooh sina ujanajaJE WAJUA?
Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganisha kope za macho na sehemu ya kutolea haja kubwa (anus) ndo mana kila ukijaribu kubana jicho moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila kutarajia?
nawaona cheki mnavojaribu...mtakuja kunya buree jaman....[emoji23][emoji23]
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Una uhakika mkuu au 7bu leo umetoka mapema lindoYuko lindoni huyo,
Karibu NumbisaMmh
Aisee
SaffiTuko poa mkuu
ChelseaLeo mimi man u wewe je?