Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nshajibu au kuna swal kauliza sijaona?

Ila mkuu nsaidie maana ya kapuku
Maana ya kapuku..;

Hili neno linamaanisha member wa jf ambao sio maarufu au ni underground au watu ambao sio wakongwe wa jf.. ukirudi nyuma hadi post # 5 utakuta link yenye maelezo mengi zaidi..

Hii ilianzishwa baada y baadhi ya members kudharauliwa, kufanyiwa kejeli na wakongwe wa jf. Wakati mwingine unasutwa tuu kisa huna umaarufu..

Hapo ndo ikawapo thread ya makapuku ambayo itamheshimu kila mtu ambaye sio maarufu! Huku unatoa mchango na unaheshimiwa kama member mwingine..


Mkuu Bitoz unaweza ukaongeza nyama kidogo..

Cc:
Bitoz
Baily 5
Na makapuku wote..
 
That's true mkuu ...uzuri kapuku wote ni sawa humu na kutambua hilo nimethamini uwepo wako kwa Leo sio kawaida yako from morning up now ..you deserve it mkuu

Na hii tuzo naomba atakuwa anatoa mtu yoyote kwa mtu yeyote simply kwa kuthamini zaidi uwepo wake kwa Siku ila kama nimekosea nisamehewe nimeitoa kwa upendo ...

Nawasilisha
Umesomeka mubashara
 
JE WAJUA??
RICHARD HARRIS
aliyecheza kwenye filamu ya Harry potter kama Profesa Dombledore, alikua amekataa kucheza nafasi hiyo. Lakini alikubali kucheza nafasi hiyo baada ya mjukuu wake wa kike mwenye miaka 11 kumuambia kua kama hatacheza nafasi hiyo basi hata ongea nae tena.


****Special for Kapuku of the Day**********
Brother Transcend
Huge Respect bro
 
Sometimes feelings ni kikohozi hiwezi kuficha..!so hujakosea brooh!

Ila we both made the day together! Makupuku woteee....!

Falsafa yetu ni kuwa makapuku wote ni sawa na hakuna anayemzidi mwenzie!

Everyone deserve a Credit!
Nilichokifikiri ni kwamba leo ni kama mechi uwanjani na katika hii mechi wewe ndio umekuwa mchezaji bora wa mechi
 
Maana ya kapuku..;

Hili neno linamaanisha member wa jf ambao sio maarufu au ni underground au watu ambao sio wakongwe wa jf.. ukirudi nyuma hadi post # 5 utakuta link yenye maelezo mengi zaidi..

Hii ilianzishwa baada y baadhi ya members kudharauliwa, kufanyiwa kejeli na wakongwe wa jf. Wakati mwingine unasutwa tuu kisa huna umaarufu..

Hapo ndo ikawapo thread ya makapuku ambayo itamshimu kila mtu ambaye sio maarufu! Huku unatoa mchango na unaheshimiwa kama member mwingine..


Mkuu Bitoz unaweza ukaongeza nyama kidogo..

Cc:
Bitoz
Baily 5
Na makapuku wote..
Maana mubashara hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom