Maana ya kapuku..;
Hili neno linamaanisha member wa jf ambao sio maarufu au ni underground au watu ambao sio wakongwe wa jf..


ukirudi nyuma hadi post # 5 utakuta link yenye maelezo mengi zaidi..
Hii ilianzishwa baada y baadhi ya members kudharauliwa, kufanyiwa kejeli na wakongwe wa jf. Wakati mwingine unasutwa tuu kisa huna umaarufu..
Hapo ndo ikawapo thread ya makapuku ambayo itamshimu kila mtu ambaye sio maarufu! Huku unatoa mchango na unaheshimiwa kama member mwingine..
Mkuu Bitoz unaweza ukaongeza nyama kidogo..
Cc:
Bitoz
Baily 5
Na makapuku wote..