Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Hivi huyu alitawaliwa nae?1918 - Jiji la Moscow lachaguliwa tena kuwa Makao Makuu ya Urusi baada ya Jiji la Saint Petersburg kuhudumu kwa miaka 215 kama makao makuu ya Nchi hiyo.
Hivi huyu alitawaliwa nae?1918 - Jiji la Moscow lachaguliwa tena kuwa Makao Makuu ya Urusi baada ya Jiji la Saint Petersburg kuhudumu kwa miaka 215 kama makao makuu ya Nchi hiyo.
Alichaguliwa lini?1933 - Wakati wa Kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression ) Rais wa Marekani Franklin D. Roosevelt anahutubia Taifa hilo kwa mara ya kwanza.
Anakuwa wa ngapi?1993 - Janet Reno anaapishwa rasmi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Marekani.
Tamu saaana,![]()
![]()
![]()
![]()
Historia tamu
.......
Ahsante sana mkuu Mussolin5Leo Katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
Sipati picha kwa sasa kukoje huko![]()
![]()
![]()
![]()
Enzi hizo
....
Tunatawaliwa ndio maana![]()
![]()
![]()
![]()
Juzijuzi tu wamentimua mwingine
Waafrika tuna mikatiba mibovu Rais anatawala km mungumtu
.......
Cc chattle
Ujumbe murua kabisa
Double cola na Coca-Cola ni kampuni tofauti?![]()
![]()
![]()
![]()
Historia tamu
.......
Asante kwa leo katika historia mkuu mussolinLeo Katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
shemela wake shunie nimekumiss mpk naumwaShemela wangu uko poa?
Mimi pia nimekumisi shemela wangushemela wake shunie nimekumiss mpk naumwa
Double cola na Coca-Cola ni kampuni tofauti?
Tofauti ipo ww ndo hujaionaTamu saaana,
Chupa ya 1915 haina utofauti na ya 1991
Haaahaaa![]()
![]()
Yeah
Hawana undugu ni km Makonda na Bashite
![]()
![]()
![]()
......
uko poa sanaMimi pia nimekumisi shemela wangu