Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ujumbe maridhawa.
LEO KATIKA HISTORIA:
1894 - Kinywaji cha Coca Cola chawekwa kwenye chupa na kuanza kuuzwa kwa mara ya kwanza huko Mississipi nchini Marekani.
1918 - Jiji la Moscow lachaguliwa tena kuwa Makao Makuu ya Urusi baada ya Jiji la Saint Petersburg kuhudumu kwa miaka 215 kama makao makuu ya Nchi hiyo.
1933 - Wakati wa Kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression ) Rais wa Marekani Franklin D. Roosevelt anahutubia Taifa hilo kwa mara ya kwanza.
1993 - Janet Reno anaapishwa rasmi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Marekani.
1999 - Nchi za Jamhiri ya Czech, Hungary na Poland zajiunga katika Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi maarufu kama NATO.
2004 - Rais wa Korea Kusini, Roh Moo-hyun anasimamishwa Urais na Bunge la Nch hiyo baada ya kufanya vibaya kwenye Uchumi na Diplomasia.
Mwaka 2009, Rais Roh anaamua kujiua mara baada ya kupanda mlimani na kujirusha chini.
Inahusiana kabisaUjumbe maridhawa.
KikongweLEO KATIKA HISTORIA:
1894 - Kinywaji cha Coca Cola chawekwa kwenye chupa na kuanza kuuzwa kwa mara ya kwanza huko Mississipi nchini Marekani.