Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Kaanzishe Uzi nije tuudiscusshahhahah hakuna
Kaanzishe Uzi nije tuudiscusshahhahah hakuna
Haaaahaaaa kocha wa chattle, aisee nipo, ubusy tu, baada ya wiki mbili hivi nitakuwa na muda wa kutoshaPamoja sana mkuu japo umeadimika kama busara za Kocha Mchezaji wa Chattle.
Full engineer wangu
Shululuuuu (imagine sauti ya kubana pua!!!)
Siku inaendaje mkuu!
kwaresma jamani!!!Ahsante Mama Mchungaji.....ubarikiwe nawe piaGood morning sir, have a Blessed sunday
Morning!!! Ila nimerudi kua single lady. Wanaume wa humu wamenishinda.

![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mondray mbona katuliaa

Nimekuta sehemu anatuponda wanawake weusi!!! Sa mie kujichubua siwezi.

Ahsante le dictatorLeo Katika Historia:
Niwatakie Jumapili njema.
.....kina karne na usheeLEO KATIKA HISTORIA:
1894 - Kinywaji cha Coca Cola chawekwa kwenye chupa na kuanza kuuzwa kwa mara ya kwanza huko Mississipi nchini Marekani.
Hiyo bottle ya kwanza Duh!!!![]()
![]()
![]()
![]()
Historia tamu
.......
Unaumwa nini????shemela wake shunie nimekumiss mpk naumwa

Amen Mama MchungajiJumapili njema wapendwa mbarikiwe
Swadaktaaaakwema jamani humu, nilipotea sana
naumwa ugonjwa kutomuona shemela shululuUnaumwa nini????![]()
naumwa ugonjwa kutomuona shemela shululu
Wapi penye maumivu?Na ni kweliTofauti ipo ww ndo hujaiona
.....
Well said

mukongo jamaan nilimmiss tu shemela wangu potea na ww nikumissWapi penye maumivu?