Makapuku Forum

1993 - Janet Reno anathibitishwa kama Seneta na kuapishwa siku ya pili yake na anachaguliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Marekani.

Janet anakuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Taifa hilo kuwa Mwanasheria mkuu wa nchi hiyo.

Hajapitia Harvard? Maana huzalisha wanasheria mahiri ht Change masikia kasoma hapo ila taaluma yake kaiweka mfukoni anafanya mambo kisiasa
.......
 

Abgekuwa mzungu angeimbwa sana
Anachoniboa ni kuweka karikiti km demu
....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…