Makapuku Forum

Makapuku Forum

1945 - Katika Vita kuu ya Pili ya Dunia: Ndege za Kijeshi za Marekani zashambulia mji wa Tokyo huko Japan na kuua takribani watu 100,000 wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto.

Huo ulikuwa ni mfululizo wa mashambulizi wa ndege za kivita za Marekani katika anga la Japan kwa kutumia ndege aina ya B-29.
0c0f54ebc469889e3a7ef9eb8209a9b6.jpg
71dd677286c0453365873abeb7beaf3e.jpg
36bc10e93bed4bed9b296afe15f4a240.jpg
89e2a29b691104a18e754ce80f0b84d1.jpg

USA kinara wa mauaji duniani
.....
 
1952 - Fulgencio Batista anaongoza mapinduzi nchini Cuba na kujitangaza kama Rais wa Nchi hiyo ambapo aliongoza kidikteta.

Batista alikuwa ni kibaraka mkubwa wa Serikali ya Marekani.

Alikuja kutolewa madarakani katika Mapinduzi ya mwaka 1959 yaliyoongozwa na Wazalendo akina Fidel Castro, Camilo Cienfuegos, Huber Matos, Raul Castro, bila kumsahau baba wa mapinduzi hayo, Muargentina Ernest Che Guevara.
869f27a01a5fb75ccb4513241e525016.jpg
beb7fec8a72d477a80bd74351cbeee24.jpg
84e8d2474baff94ee18b5569e78b2b64.jpg
488a466c5e931d1b089f99c914d15240.jpg

Kila penye vurugu kuna mkkono wa USA
.....
 
1957 - Osama Bin Laden anazaliwa.

Kiongozi wa zamani wa Kundi la kigaidi Al Qaeda.

Aliisumbua sana Marekani, ni baada ya kulipua majengo ya WTC mwaka 2001.

Alifariki Dunia mwaka 2011 huko Abbottabad nchini Pakistani.
 
1968 - Katika Vita ya Vietnam; Battle of Lima Site, Jeshi la Marekani lapoteza idadi kubwa ya askari wake wa anga kwa mkupuo.

Vita hiyo iliyotokea miaka ya 1960's - 1970's ilikuwa ni vita ya aina yake kwani ilipigwa katika misitu minene hali iliyopelekea Wamarekani kuzidiwa sana na kuamua kurudisha Majeshi nyumbani huku idadi kubwa ya askari wao wakishikiliwa kama wafungwa wa kivita ( P.O.W. ) katika magereza ya siri huko Vietnam.
98e11a226e045de5321c4c92ae1ff4a4.jpg
6e031df7dff96422bd682297b5ca7282.jpg
a9abb571517a35e6e1460ec8d9007e82.jpg
1da04931af59345af9ef6fba8e52a044.jpg

Tofauti ya nguvu na akili
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom