Makapuku Forum

Makapuku Forum

df7c4c5df20a8bf1141763f6761e5d03.jpg

Kipara nu dalili ya upungufu wa akili
.....
Duuuuu hyo nayo mpya
 
1945 - Katika Vita kuu ya Pili ya Dunia: Ndege za Kijeshi za Marekani zashambulia mji wa Tokyo huko Japan na kuua takribani watu 100,000 wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto.

Huo ulikuwa ni mfululizo wa mashambulizi wa ndege za kivita za Marekani katika anga la Japan kwa kutumia ndege aina ya B-29.
Japan alikuwa jeuri mno
 
1952 - Fulgencio Batista anaongoza mapinduzi nchini Cuba na kujitangaza kama Rais wa Nchi hiyo ambapo aliongoza kidikteta.

Batista alikuwa ni kibaraka mkubwa wa Serikali ya Marekani.

Alikuja kutolewa madarakani katika Mapinduzi ya mwaka 1959 yaliyoongozwa na Wazalendo akina Fidel Castro, Camilo Cienfuegos, Huber Matos, Raul Castro, bila kumsahau baba wa mapinduzi hayo, Muargentina Ernest Che Guevara.
Duniani Wamepita watu jamani
 
1968 - Katika Vita ya Vietnam; Battle of Lima Site, Jeshi la Marekani lapoteza idadi kubwa ya askari wake wa anga kwa mkupuo.

Vita hiyo iliyotokea miaka ya 1960's - 1970's ilikuwa ni vita ya aina yake kwani ilipigwa katika misitu minene hali iliyopelekea Wamarekani kuzidiwa sana na kuamua kurudisha Majeshi nyumbani huku idadi kubwa ya askari wao wakishikiliwa kama wafungwa wa kivita ( P.O.W. ) katika magereza ya siri huko Vietnam.
 
1970 - Katika vita ya Vietnam, Serikali ya Marekani yamshikilia na kumfungulia mashtaka askari wake Captain Ernest Medina kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu.

Captain Ernest Medina aliongoza mauaji ya Raia zaidi ya 400 wa Kivetnam wasiokuwa na hatia katika Mauaji ya kijiji cha My Lai.
 
1940 - Chuck Norris anazaliwa.

Ni mwanajeshi wa zamani wa Jeshi la Anga la Marekani.

Ni staa wa filamu kutoka Hollywood nchini Marekani.

Baadhi ya Filamu zake ni kama, Missing In Action ambazo zipo part I, II na III.

Pia kuna Delta Force, na mfululizo tamthilia za Walker Texas Rangers.
 
1968 - Katika Vita ya Vietnam; Battle of Lima Site, Jeshi la Marekani lapoteza idadi kubwa ya askari wake wa anga kwa mkupuo.

Vita hiyo iliyotokea miaka ya 1960's - 1970's ilikuwa ni vita ya aina yake kwani ilipigwa katika misitu minene hali iliyopelekea Wamarekani kuzidiwa sana na kuamua kurudisha Majeshi nyumbani huku idadi kubwa ya askari wao wakishikiliwa kama wafungwa wa kivita ( P.O.W. ) katika magereza ya siri huko Vietnam.
Pamoja na ubabe wake wote huko alikalishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom