Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa nawatakia ijumaa njema,kwa wagonjwa poleni sana mtapona matibabu muhimu na maombi kwa Mungu Baba,wanaopitia changamoto yoyote amini hauko peke yako usikate tamaa bado lipo tumaini tafuta ushauri, usiwaze peke yako Na naomba Mungu akutie nguvu,Mungu abariki kazi za mikono yenu ufanikiwe mbarikiwe sana sana .
Ameeeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom