Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
1937 - Juvenal Habyarimana anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa awamu ya 3 wa Rwanda.
Aliuwawa yeye pamoja na Rais wa Burundi baada ya ndege waliyopanda kwa pamoja kulipuliwa wakiwa wanatokea Dar Es Salaam.
Kulikua na mkono wa Kagame?
....