Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1937 - Juvenal Habyarimana anazaliwa.
Alikuwa ni Rais wa awamu ya 3 wa Rwanda.
Aliuwawa yeye pamoja na Rais wa Burundi baada ya ndege waliyopanda kwa pamoja kulipuliwa wakiwa wanatokea Dar Es Salaam.
Kulikua na mkono wa Kagame?
....

Ewe Mungu wangu nakuomba kwa kadri ya mapigo ya moyo wangu umjaalie MAMA YANGU awe mwanamke bora ktk wanawake na umsamehe makosa yake. Na uwajaalie kina mama wote wawe wanawake bora na uwasamehe wote...



















Jizoeshe kumwita mama pindi unapoingia nyumbani