Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Dada unaguna nnMmmmmh
Dada unaguna nnMmmmmh
Sawa mwenyejinimeambiwa nimuone mushenga ngoja aje![]()
![]()
Hiyo redbull inavyopigwa mateke tuu, ngoja niwaacheDada unaguna nn
hahahah nakununulia mwenyewe bwanaHiyo redbull inavyopigwa mateke tuu, ngoja niwaache
Sawa mwenyeji
Kweli kabisaa aki ya shululuMmmmmh
Shost wako namba yake ina whatsapp money ??nimeambiwa nimuone mushenga ngoja aje![]()
![]()
Uliniona wapi na nilisemaje hadi usiamini dadangu
shululu tena kafanyajeKweli kabisaa aki ya shululu
Ndo ununue ninywe niondokehahahah nakununulia mwenyewe bwana
Tunaituma via whatsapp money ...ngoja shunie anipe nikubip kwanzaHiyo redbull inavyopigwa mateke tuu, ngoja niwaache
aisee kwahiyo hela ya redbull itolewe kwenye posaYa posa ndio..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nimepatikana kwakweli
yangu inayo tuma kwangu nitamrushiaShost wako namba yake ina whatsapp money ??

Merci MukubwaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Acha kubip mpe Shunie anitumieTunaituma via whatsapp money ...ngoja shunie anipe nikubip kwanza
hahahhhh tuachane nayo siku nyingine nitakushtuaUliniona wapi na nilisemaje hadi usiamini dadangu
hahahhh mwanamke mtata ww twende kwa mangi basi au unataka wapiNdo ununue ninywe niondoke
utume kwanguTunaituma via whatsapp money ...ngoja shunie anipe nikubip kwanza