Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
nahisi n mukongo naonaga lee akimuita labda kama kabadilikaHv baba mchungaji ni nan
nahisi n mukongo naonaga lee akimuita labda kama kabadilikaHv baba mchungaji ni nan
Na huwezi kutoka[emoji23] [emoji23] make arosto sipati pichasakayo njo huku mama si unakumbuka ww ndio uliesababisha niingie kapuku njo japo usalimie tu niliingia na kunogewa mazima [emoji23]
Maswali mengine bhwaaaaaanaaaaahHv baba mchungaji ni nan
Ndo huyo Baba mchungajinahisi n mukongo naonaga lee akimuita labda kama kabadilika
Kwa heshima na taa waka, nawasalimu wote ndani ya kapuku!!! Nawapenda wotesakayo njo huku mama si unakumbuka ww ndio uliesababisha niingie kapuku njo japo usalimie tu niliingia na kunogewa mazima [emoji23]
yaan kama teja na unga nilivyoingia humu kiutani tu sakayo ananiambia nenda kapuku kunachekesha sana kuja sasa mpk leoNa huwezi kutoka[emoji23] [emoji23] make arosto sipati picha
nilihisi labda kabadilika bada ya kuona swali la mondrayNdo huyo Baba mchungaji
Pongezi kwakeyaan kama teja na unga nilivyoingia humu kiutani tu sakayo ananiambia nenda kapuku kunachekesha sana kuja sasa mpk leo
Niko mzima dadangu kipenzi[emoji8]kaka mzima
shost karibu sana [emoji23] hivi unakumbuka ile siku tuliyokua tunaongea kuhusu kapuku ukaniambia nije nichungulie toka ile siku sijatoka tena Quigley shahidiKwa heshima na taa waka, nawasalimu wote ndani ya kapuku!!! Nawapenda wote
Mie huwa nawasoma tuu ila tuko pamoja, Shunie asante kwa mwaliko
kaka nakuonaga mitaa flan na maneno yako ya utata siamin kama ni ww [emoji23]Niko mzima dadangu kipenzi[emoji8]
Kumbuka post yangu ulipoingia humu.yaan kama teja na unga nilivyoingia humu kiutani tu sakayo ananiambia nenda kapuku kunachekesha sana kuja sasa mpk leo
Asante kwa kutuletea shunie ashapata mashemeji na mawifiKwa heshima na taa waka, nawasalimu wote ndani ya kapuku!!! Nawapenda wote
Mie huwa nawasoma tuu ila tuko pamoja, Shunie asante kwa mwaliko
Sana anastahili pongeziPongezi kwake
hahahhah nakumbuka halaf ukaniambia nimewaona mnatusemaKumbuka post yangu ulipoingia humu.
Nilikwambia patamu ajabu, na leo umekiri
Hebu niambie maneno gn dadangukaka nakuonaga mitaa flan na maneno yako ya utata siamin kama ni ww [emoji23]
Daaaah, we kiboko!! Kumbeee ulipapenda eeehshost karibu sana [emoji23] hivi unakumbuka ile siku tuliyokua tunaongea kuhusu kapuku ukaniambia nije nichungulie toka ile siku sijatoka tena Quigley shahidi
Kumbe unakumbuka[emoji23]shost karibu sana [emoji23] hivi unakumbuka ile siku tuliyokua tunaongea kuhusu kapuku ukaniambia nije nichungulie toka ile siku sijatoka tena Quigley shahidi
hahahhhh mm napitaga nalike tu nabaki najiuliza ndio yy huyu siku nyingine nikikuona nitakushika bega ujueHebu niambie maneno gn dadangu