Sio kweli
Wapo wengi tu uhuzunika kinafiki...siyo kila kifo cha mtu kinahuzunisha mfano kuna misiba mingi huwa hainiumi na hata kuzika nazika huku moyoni nikiwa na furaha....
.Hivyo hata kifo chako au changu hakiwezi kuhuzunisha wala kuumiza watu wote ndiyo maana kuna usemi wa Kufa kufaana
.....
Kweli Mkuu ila utaogopa kama hujawahi fiwa Mkuu lakini kunawakati woga unaishaaa!Na mochuari utaingia tu.unapoendelea kuishi hakika unakutana Na mengi Na unajifunza mengi mnoo,Ubarikiwe Mkuu Bitoz