Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1837 - Jiji la Chicago laanzishwa huko Marekani.

Ni Jiji la tatu kwa wingi wa watu Nchini humo.

Ni jiji lenye highway nyingi zaidi ndani ya Nchi hiyo.

Pia Jiji hilo lina Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa O'Hare ndio uwanja wa pili Duniani kwa kuhudumia wasafiri wengi na kuwa na ndege nyingi zainazotua hapo kila baada ya muda.

Kuna Vyuo vikuu maarufu vinavyopatika Jijini humo kama University of Chicago na University of Illnois.
Itabidi niende kutembea Chicago na mama Mchungaji
 
1951 - Kenny Dalglish anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Scotland.

Mchezaji mahiri wa enzi zake akiwa na Liverpool akabatizwa jina la " King Kenny ".

Baadae akaja kuwa kocha wa Liverpool na ndiye kocha wa mwisho kuwapa taji la ubingwa wa EPL mwaka 1990.

Pia Dalglish alitwaa ubingwa wa EPL mwaka 1995 akiwa kocha wa Blackburn Rovers.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom