Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Kirat siku si nyingi Polisi watafanya upekuzi kwake.Kirat kwenye ubora wake...![]()
Kirat siku si nyingi Polisi watafanya upekuzi kwake.Kirat kwenye ubora wake...![]()
Asante ,uko poa lakini dikteta??Asante kwa magazeti mkuu.
Njema mkuu, za jmosi?Habar yako de big bro
Apooo guuuud ...Sara za mama mchumbaYeah leo nipo vzr bro sijui ww
zimefika
Jamaa yuko vizuri ila ndo hivo bwana yule hatakKirat siku si nyingi Polisi watafanya upekuzi kwake.
Hahaaaaaa eti mama mchumba daaah umenifurahisha mkuuApooo guuuud ...Sara za mama mchumba![]()
![]()
zimefika
Safi tu mkuu MUNGU anasaidiaNjema mkuu, za jmosi?
Nimechapia kwani ??Hahaaaaaa eti mama mchumba daaah umenifurahisha mkuu
Hapana hujachapia duuh bless nilimuudhi hadi namuogopa hata kumsalimiaNimechapia kwani ??
Thanks shusha vitu1890 - Forth Bridge ambalo ni daraja lefu zaidi katika visiwa vya Uingereza lazinduliwa na Mfalme Edward wa VII huko Scotland.