Makapuku Forum

Makapuku Forum

1953 - Zico anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil.

Kiungo mchezeshaji ambaye hakuwahi kucheza soka la kulipwa ulaya.

Anajulikana kama " Pele Mweupe " kutokana na kufananishwa aina yake ya mpira na mchawi wa soka wa Duniani Pele.

Anatajwa kama mchezaji bora wa Dunia kwa miaka ya 1980's.
Alikuwa ni mtaalam wa mipira iliyokufa.

Alikuwepo kwenye kikosi cha Brazil kilichoshiriki Kombe la Dunia mwaka 1982 pale Spain.

Kikosi kile kiliundwa na Socrates, Falcao, Zico, Cerezo and Junior na wengineo kinatajwa kama kikosi bora ambacho kilishindwa kutwaa kombe la dunia licha ya kucheza soka la hali ya juu sana.

Pia amepata kuwa kocha wa timu mbalimbali kama vile Japan.
 
Leo katika Historia:

1845 - Florida yawa jimbo la 27 kujiunga na Marekani.
956ea12b4710931be557d4e914ce5a58.jpg
24851817f8f40956a5a6663b201cc643.jpg
5efb9e6f9eaa2304f39cab0684d46442.jpg
 
1953 - Zico anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil.

Kiungo mchezeshaji ambaye hakuwahi kucheza soka la kulipwa ulaya.

Anajulikana kama " Pele Mweupe " kutokana na kufananishwa aina yake ya mpira na mchawi wa soka wa Duniani Pele.

Anatajwa kama mchezaji bora wa Dunia kwa miaka ya 1980's.
Alikuwa ni mtaalam wa mipira iliyokufa.

Alikuwepo kwenye kikosi cha Brazil kilichoshiriki Kombe la Dunia mwaka 1982 pale Spain.

Kikosi kile kiliundwa na Socrates, Falcao, Zico, Cerezo and Junior na wengineo kinatajwa kama kikosi bora ambacho kilishindwa kutwaa kombe la dunia licha ya kucheza soka la hali ya juu sana.

Pia amepata kuwa kocha wa timu mbalimbali kama vile Japan.
50006c26f3ee44895dc1f2710b68dad0.jpg
813289c66b565139d952245bd81211c7.jpg
e236a59ad1363587431de6f2adf0850d.jpg
b8d92d20a12b5abf3afbe4a8cbf1f078.jpg

Pele hakuna na kipaji chochote zaidi ya kuvizia km Amissi Tambwe
🙂 🙂 🙂
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom