Amen Ubarikiwe Mkuu Lee asante kwa magazetiTuwe na Siku njema wakuu
Milele aminaaaàa mama mchungajiNaamini mmeamka salama,Mungu yu mwema kwangu sijambo Namshukuru,wagonjwa wote poleni sana Mungu awape uponyaji,Mkuu Mondray pole naamini unaendelea vizuri utapona,wanaopitia changamoto mbalimbali Mungu awape wepesi,nawatakia Amani,Mafanikio Na Baraka tele siku ya Leo Ijumaa njema...Mbarikiwe
Ahsante sana binti ninashukuru kwa maombi na ushauri wako hari yangu sio mbaya sana kama ya jana .. Nawashukuru wote na MUNGU awabariki kazi ya mikono yenu..Naamini mmeamka salama,Mungu yu mwema kwangu sijambo Namshukuru,wagonjwa wote poleni sana Mungu awape uponyaji,Mkuu Mondray pole naamini unaendelea vizuri utapona,wanaopitia changamoto mbalimbali Mungu awape wepesi,nawatakia Amani,Mafanikio Na Baraka tele siku ya Leo Ijumaa njema...Mbarikiwe
Amen Mama MchungajiNaamini mmeamka salama,Mungu yu mwema kwangu sijambo Namshukuru,wagonjwa wote poleni sana Mungu awape uponyaji,Mkuu Mondray pole naamini unaendelea vizuri utapona,wanaopitia changamoto mbalimbali Mungu awape wepesi,nawatakia Amani,Mafanikio Na Baraka tele siku ya Leo Ijumaa njema...Mbarikiwe
nimeipenda obe hiiUmri ni namba tu, ukitaka maisha na kuishi vizuri acha kuhesabu namba, ukishajua tarehe tu inatosha
Lema Mungu akusaidie upate dhamanaMorning wakuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
lee asante kwa magazetiTuwe na Siku njema wakuu
ubarikiwe na ww mama mchungajiNaamini mmeamka salama,Mungu yu mwema kwangu sijambo Namshukuru,wagonjwa wote poleni sana Mungu awape uponyaji,Mkuu Mondray pole naamini unaendelea vizuri utapona,wanaopitia changamoto mbalimbali Mungu awape wepesi,nawatakia Amani,Mafanikio Na Baraka tele siku ya Leo Ijumaa njema...Mbarikiwe
wanasubilia movie nyingine auTafakar ya kirat ;![]()
Kesho zamu yako kutuwekea magazetilee asante kwa magazeti
mmhKesho zamu yako kutuwekea magazeti
Mbona unagunaa baby
Kwahiyo huduma ya kwanza huwa ni kumvuta ulimi?Sad info ...
Katika mchezo wa la Liga BBVA...
Atletico Madrid dhide ya Depotivo.... Fernando Tores aliruka juu kuokoa mpira wa kona na kwa bahati mbaya akagongana na mchezaji wa Depotivo na wakati anatua chini alitanguliza chini sehemu kubwa ya kichwa na kusababisha kumeza ulimi wake...... Shukrani ziwaendee wachezaji waliokuwa karibu na kumuwahi haraka haraka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Mpaka Leo asubuhi anaendelea vyema na ame Twitte kuwashukuru wote walio mtumia meseji..... Uwanja ulijawa na simanzi kwa pande zote mbili...... Kweli mpira sio vita.
Get well soon and recover quickly El Niño.![]()
Tafakar ya kirat ;![]()