Sad info ...
Katika mchezo wa la Liga BBVA...
Atletico Madrid dhide ya Depotivo.... Fernando Tores aliruka juu kuokoa mpira wa kona na kwa bahati mbaya akagongana na mchezaji wa Depotivo na wakati anatua chini alitanguliza chini sehemu kubwa ya kichwa na kusababisha kumeza ulimi wake...... Shukrani ziwaendee wachezaji waliokuwa karibu na kumuwahi haraka haraka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Mpaka Leo asubuhi anaendelea vyema na ame Twitte kuwashukuru wote walio mtumia meseji..... Uwanja ulijawa na simanzi kwa pande zote mbili...... Kweli mpira sio vita.
Get well soon and recover quickly El Niño.