Makapuku Forum

Makapuku Forum

93efad54aac65efd3522e7c62d02e29e.jpg
269d9235a936865725eed9609bb8f89d.jpg
62077b4dc0f275d056309ad709cac47c.jpg
Asante sana kwa picha ubarikiwe
 
1986 - Waziri Mkuu wa Sweden Olof Palme anauwawa.

Alikuwa na mkewe wanatoka Cinema na kurudi Nyumbani majira ya usiku, akatokea mtu asiyejulikana kwa nyuma akamshambulia Waziri Mkuu kwa risasi na kutoweka.

Mpaka leo haijulikani ni nani alimuua Waziri Mkuu huyo aliuekuwa kipenzi cha Wanyonge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom