Makapuku Forum

Makapuku Forum

LEO KATIKA HISTORIA:

1900 - Chama cha Siasa cha Labour cha Uingereza chaanzishwa.
34b4df5101f6b73f730a6801c0aa443e.jpg
bce9d8cceef2c97ec781f23a2998c1af.jpg
 
1900 - Klabu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani yaanzishwa rasmi.

Ndio klabu yenye mafanikio zaidi katika soka la Ujerumani. Klabilu hiyo inapatikana katika jimbo la Bavaria.
Aliianz Arena ndio uwanja wa nyumbani wa klabu hiyo.

Wachezaji wengi wenye majina makubwa nchini humo wamechezea timu hiyo.

Mholanzi Mark Van Bommel ndio mchezaji pekee asiyekuwa Mjerumani kuwa Kepteni katika historia ya timu hiyo.

Jina lao la utani ni " The Bavarians "
9aed41e7719e264409bb36359ee268e7.jpg
0eb851f296253c54bb4bf91250ab4f25.jpg
0146af663eb539d1a71f3fad3866565e.jpg

cc ArsayNO fans
.....
 
Huu uzi nimeanza kuuelewa kidogo kidogo thatha ntaanza kuufuatilia au thio wadau
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom