BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe Lee. EmpireWakuu kumekucha ...tumshukuru aliye juu
Baba na mama mchungaji wanatuletea magazeti![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ubarikiwe Lee. EmpireWakuu kumekucha ...tumshukuru aliye juu
Baba na mama mchungaji wanatuletea magazeti![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Amina mama mchungajiUbarikiwe Lee. Empire
Pamojaa sana Baba mchungajilee ahsante kwa mazageti mubashara!!!
Mama wetu mpendwa tunashukuru kwa maneno yako hakika kapuku tunafarijika sana ...Naamini mmeamka salama Na Mungu anazidi kutuonesha Upendo wake,Neema zake Na fadhili zake kwetu zinaendelea kuwa tele... Namwomba Mungu mwenyezi azidi Kutubariki,kutulinda na kutuongoza katika kila Jambo wagonjwa Mungu awaponye,wenye changamoto zozote Mungu awape wepesi Na kutupa suluhisho Na Matumaini tubarikiwe kazi zetu ziwe njema tuwe Na raha moyoni Na kujazwa shukurani...Mbarikiwe wapendwa Makapuku Mfanikiwe.....Siku njema kwenu woteeee
Leo Katika Historia:
1932 - Adolf Hitler anapata Uraia wa Ujerumani na lumfanya aweze kugombania nafasi ya Kiongozi wa Ujerumani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1932 nchini humo.