Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,558
Athantee my lovely blessGood morning Mondray God Bless you
Athantee my lovely blessGood morning Mondray God Bless you
1981 - Ji Sung Park anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Man Utd , Qpr na PSV Eindhoven na timu ya taifa ya Korea Kusini.
Mchezaji mwenye mafanikio zaidi kutoka bara la Asia baada ya kushinda jumla ya vikombe 19 katika carrer yake.
Ni mchezaji wa kwanza kutoka Asia kushinda taji la Uefa Champions League, Fifa Club World cup.
Alisifika zaidi kwa kupafomu kwenye mechi ngumu na kubwa.
Andrea Pirlo anadai kuwa mtu pekee aliyekuwa anajua kumkaba na asiyependa kukutana nae uwanjani ni Js Park.
Kwasasa ni balozi wa Man Utd.
Shwari mkuu! Habari za masiku?Kwema mkuu
Nzuri mkuuShwari mkuu! Habari za masiku?
Mtoto shunie mzima ee?Nzuri mkuu
Mzima kabisa mkuuMtoto shunie mzima ee?
1983 - Eduardo Da Silva anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Shaktar Donetsk na timu ya taifa ya Croatia.
Ni mzaliwa wa Brazil aliyeamua kuchezra Croatia.
Akiwa Arsenal alivunjika mguu wake vibaya kiasi cha kukaa nje kwa muda mrefu sana.
1999 - Gianluigi Donnarumma anazaliwa.
Ni kipa wa sasa wa klabu ya Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.
Akiwa ndo kwanza na miaka 18 kipaji cha hali ya juu alichonacho anatajwa kama mrithi sahihi wa golikipa mkongwe Gianluigi Gigi Buffon.
Mtu wa 99 analingana hivyo daaah uzunguni hatar![]()
![]()
![]()
Bado mapema kumfananisha na Gigi Buffon
...
Hakika![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ingekua wa Bongo leo tayari kilema
......