Makapuku Forum

Makapuku Forum

1981 - Ji Sung Park anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Man Utd , Qpr na PSV Eindhoven na timu ya taifa ya Korea Kusini.

Mchezaji mwenye mafanikio zaidi kutoka bara la Asia baada ya kushinda jumla ya vikombe 19 katika carrer yake.

Ni mchezaji wa kwanza kutoka Asia kushinda taji la Uefa Champions League, Fifa Club World cup.

Alisifika zaidi kwa kupafomu kwenye mechi ngumu na kubwa.

Andrea Pirlo anadai kuwa mtu pekee aliyekuwa anajua kumkaba na asiyependa kukutana nae uwanjani ni Js Park.

Kwasasa ni balozi wa Man Utd.
ef251c09ceb219b48187afe500afbfc4.jpg
58dd19764dc4c6679ffda6231c12fffd.jpg
3c681a6375b4d9b0866faad1edd67fb3.jpg
0c318a8e99d61868458fad125b9c736b.jpg

Supu ya chura inampa jeuri
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom