Makapuku Forum

Makapuku Forum

1999 - Gianluigi Donnarumma anazaliwa.

Ni kipa wa sasa wa klabu ya Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.

Akiwa ndo kwanza na miaka 18 kipaji cha hali ya juu alichonacho anatajwa kama mrithi sahihi wa golikipa mkongwe Gianluigi Gigi Buffon.
 
1945 - Uturuki yatangaza vita dhidi ya Ujerumani katika vita kuu ya pili ya Dunia.
4ac39fe04f1f44d464662ffca9deb7e3.jpg
f21230852d235b05935fe278939cc330.jpg
3a80e0cf08302c8ddcb57dd40832218e.jpg
 
1981 - Ji Sung Park anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Man Utd , Qpr na PSV Eindhoven na timu ya taifa ya Korea Kusini.

Mchezaji mwenye mafanikio zaidi kutoka bara la Asia baada ya kushinda jumla ya vikombe 19 katika carrer yake.

Ni mchezaji wa kwanza kutoka Asia kushinda taji la Uefa Champions League, Fifa Club World cup.

Alisifika zaidi kwa kupafomu kwenye mechi ngumu na kubwa.

Andrea Pirlo anadai kuwa mtu pekee aliyekuwa anajua kumkaba na asiyependa kukutana nae uwanjani ni Js Park.

Kwasasa ni balozi wa Man Utd.
Ji sung Park! Ji sung Park!

Kombe la FA zawadi yake ya Kuzaliwa!
 
1968 - Wanakijiji 135 wanauwawa huko katika Kijiji cha Ha My kusini mwa Vietnam wakati wa vita maarufu ya Vietnam.

Wanakijiji hao wasiokuwa na silaha waliuwawa bila hatia na kuzikwa haraka sana katika kile kilichokuja kuja kujulikana kama " Ha My Massacre "
So sad,kuua watu wanyonge wasio Na hatia Mungu awakumbuke marehemu hawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom