Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Anapenda sana wanamitindo. Kuna picha ya Flavian Matata yupo na Donald nayo inadhihirisha hivyo.Halaf trump ana nyota na wanamitindo, huyu wa sasa ni mke wa pili.
Anapenda sana wanamitindo. Kuna picha ya Flavian Matata yupo na Donald nayo inadhihirisha hivyo.Halaf trump ana nyota na wanamitindo, huyu wa sasa ni mke wa pili.
Alikuwa dikteta kiasi chake kwani alishika vyeo viwili kwa wakati mmoja.
Hakuwa dikteta km Sizonje?
......
anaonekana sbbu ata huyu mkewe wa sasa n mwanamitindoAnapenda sana wanamitindo. Kuna picha ya Flavian Matata yupo na Donald nayo inadhihirisha hivyo.
Trump alianza kuchepuka, alikuwa anatoka kimapenzi na wanawake wengine. Hivyo Bi Mkubwa akadai talaka yake akiwa na uhakika wa kuvuna kitita kikubwa baada ya kuachana kwao.
Sababu ya kuachana kwao?
....
Iko pouwa papa mutoto ya Congo..!Adje???
Pombe pia baadaye atafanya hivyohivyo kaanza na Kaimu Jaji Mkuu yaani ni km kakaimu mwenyeweAlikuwa dikteta kiasi chake kwani alishika vyeo viwili kwa wakati mmoja.
Alikuwa Rais pia hapohapo ni Waziri Mkuu.
Huo ni U-chattle kabisa.
Siku hizi face lake km makaliotrump alikua hb alivyokua kijana
Siku hizi face lake km makalio
.....
hahahhaahhhPombe pia baadaye atafanya hivyohivyo kaanza na Kaimu Jaji Mkuu yaani ni km kakaimu mwenyewe
.......
Mzee wa Chattle ndio Jaji MkuuPombe pia baadaye atafanya hivyohivyo kaanza na Kaimu Jaji Mkuu yaani ni km kakaimu mwenyewe
.......
Le Papaa ShululuArsenal mpoo?
Leo mangapi?
Salamaaaaah!!!..za Jioni ndugu zangu???
Mkuu mussolin ninakuona acha uchochezi ohooooo!! U chattle umefikaje hapaaAlikuwa dikteta kiasi chake kwani alishika vyeo viwili kwa wakati mmoja.
Alikuwa Rais pia hapohapo ni Waziri Mkuu.
Huo ni U-chattle kabisa.
Asante nawe pia barikiwaMorning Makapuku, tuwe na siku njema